Ajali hii iliyotokea katika daraja la Mto Wami baada ya tela la lori la
mafuta kukatika na kuponea chupuchupu kutumbukia kwenye mto huo ambao
unadaiwa kuwa na Mamba. Kwa mujibu wa Mchome blog, tukio hilo
lilisababisha maelfu ya wasafiri kukwama kwa masaa sita. Zifuatazo ni
picha hizo kutoka mchomeblog.com![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhKO4wuNWd3cJu-6bcdkL87hryC-X5R83LBt7jjWkvp3UIV8h7NLbq0AnG4BBRuAA_x3kYz0jaBkIpztNsV6ZKc-XoKTjiAiRV-RONnSFQq02KqWbKfwEEgzOTdeM6_SSZ4nLy1Gh9PGFLJ/s320/lori-mto-wami.png)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhKO4wuNWd3cJu-6bcdkL87hryC-X5R83LBt7jjWkvp3UIV8h7NLbq0AnG4BBRuAA_x3kYz0jaBkIpztNsV6ZKc-XoKTjiAiRV-RONnSFQq02KqWbKfwEEgzOTdeM6_SSZ4nLy1Gh9PGFLJ/s320/lori-mto-wami.png)