Majeruhi wa mlipuko akipatiwa huduma ya kwanza
Majeruhi wakiwa katika hali mbaya
IMEELEZWA KUWA MCHANA WA LEO MAJIRA YA SAA SABA, JIJINI ARUSHA UMETOKEA MLIPUKO MKUBWA WA KITU KINACHODHANIA KUWA NI BOMU.
MLIPUKO
HUO UMETOKEA KATIKA KANISA KATOLIKI PAROKIA MPYA YA OLASITI, ILIYOKUWA
KATIKA HARAKATI NA SHAMBRA SHAMBRA ZA KUZINDULIWA RASMI LEO JIJINI
HUMO.
MLIPUKO
HUO UMETOKEA WAKATI WAUMINI WA KANISA HILO LA KATOLIKI WAKIENDELEA NA
SHEREHE ZA UZINDUZI WA KANISA HILO JIPYA JIJINI ARUSHA.
AIDHA
IMEELEZWA NA MASHUHUDA KWA NJIA YA SIMU KATIKA MTANDAO HUU KUWA KUWA
KUNA WATU KADHAA WAMEPOTEZA MAISHA NA WENGINE WENGI KUJERUHIWA AMBAO
WENGI WAO WALIKIMBIZWA HOSPITALI.
AIDHA IMEELEZWA NA MASHUHUDA KWA NJIA YA SIMU KATIKA MTANDAO HUU KUWA KUWA KUNA WATU KADHAA WAMEPOTEZA MAISHA NA WENGINE WENGI KUJERUHIWA AMBAO WENGI WAO WALIKIMBIZWA HOSPITALI.
Polisi wakiendelea kufanya uchunguzi
Eneo lenye utepe ndipo kinachohisiwa kuwa ni bomu lilipotua na kulipuka katika kanisa
No comments:
Post a Comment