Friday, December 28, 2012
Wednesday, December 26, 2012
Sunday, December 16, 2012
Monday, December 3, 2012
Saturday, November 10, 2012
Monday, October 22, 2012
RAIS KIKWETE KATIKA UKUMBI WA CHUO CHA MIPANGO DODOMA KATIKA KILELE CHA MKUTANO MKUU WA UWT
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika
ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma ikiwa ni kufunga mkutano mkuu wa Umoja wa
Wanawake Tanzania (UWT)
Wanachama wakongwe wa UWT na CCM wakishangilia
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akiwasili katika Ukumbi wa Chuo cha Mipango Dodoma
Friday, October 19, 2012
Wednesday, October 17, 2012
Monday, October 15, 2012
Saturday, October 6, 2012
Sunday, September 30, 2012
Monday, September 24, 2012
Friday, September 21, 2012
MAANDAMANO YA AMANI YA KUPINGA UWEPO WA RPC WA IRINGA KAMUHANDA YAPIGWA STOP
Polisi wakiwa tayari kuhakikisha hakuna kufanyika kwa maandamano
Mh. Peter Msigwa akiongea na wananchi na waandishi wa habari kuhusu kusitishwa kwa maandamano hayo
Mbunge wa Iringa mjini kupitia tiketi ya chama cha Demokrasia
na Maendeleo (Chadema), Peter Msigwa, akizungumza na wanachama na wapenzi wa
chama hicho katika ofisi za Wilaya za chama hicho kuhusu kuahirishwa kwa
maandamano ya amani yaliyokuwa yafanyike
siku ya leo kushinikiza kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Michael Kamuhanda kujiuzulu
kutokana na kifo cha mwandishi wa habari wa channel ten Daudi mwangosi
kilichotokea tarehe 2 septemba mwaka huu.
Msigwa amesema kutokana na barua aliyoipata toka kwa zikitaka
kusitisha maandamano hayo, aneleza barua inawataka kusitisha na kueleza kuwa
sababu kubwa ni kwamba maandamano hayo hayataweza kuwa na polisi wa kusimamia
na kukataza kufikia katika ofisi ya RPC
ambayo ni ofisi ya kiserikali.
Hata hivyo Msigwa ameeleza kuwa msimamo wao uko pale pale ila
anajiandaa kujibu hoja za barua hiyo na kuwataka wananchi wawe na subira mpaka
atakapowatangazia tena kuwepo kwa maandamano hayo ya amani.
Wakati huo huo wameonekana askari wakiwa katika magari yao
kudhibiti wananchi kuandamana. Hali hiyo ilitokana na wananchi hao kumiminika kwenye ofisi za Chadema mjini
hapa kwa ajili ya kujiandaa maandamano. (Chanzo: Msigwablog)
|
Thursday, September 20, 2012
Mbunge wa Iringa Mjini Mchg. Peter Msigwa jana amefanya mkutano mkubwa Ndani ya manispaa ya Iringa eneo la soko kuu.
Umati wa watu wa manispaa ya Iringa wakiwa na mabango yenye ujumbe mbalimbali
Mh Peter Msigwa akihutubia
Wananchi wakimsikiliza kwa makini mbunge wao
Wednesday, September 12, 2012
Monday, September 10, 2012
Tuesday, August 28, 2012
CHADEMA YAZUIWA KUFANYA MKUTANO JIONI YA LEO MJINI IRINGA
MSAFARA WA CHADEMA UKIWA UMEZUIWA MJINI IRINGA
FFU WAKIWA UWANJA WA MWEMBETOGWA KUHAKIKISHA HAKUNA KUFANYIKA MKUTANO WA CHADEMA MAHALI HAPO
POLISI WAKIWA WAMETANDA KUZUIA MSAFARA WA VIONGOZI WA CHADEMA
Sunday, August 19, 2012
Wednesday, August 15, 2012
Monday, August 13, 2012
EXPENDABLE 2 KUINGIA SOKONI IJUMAA HII TAR 17 AUGUST
Kwa wale wapenzi wa filamu za kibabe (action movies) kaa mkao wa kula kwni Expendables 2 ambayo ni muondelezo ile ya
mwaka 2010 inatarajia kuingia sokoni ijumaa ya wiki hii August 17.
Filamu hiyo imewahusisha waigizaji wakongwe, Sylvester
Stallone kama Barney Ross ambaye ndiye kiongozi wa kundi la makomandoo wa The Expendables,
Jason Statham kama Lee Christmas, ni mtaalam wa visu wa The Expendables, Jet Li
kama Yin Yang, Dolph Lundgren kama Gunnar Jensen, Chuck Norris kama Booker, Jean-Claude
Van Damme kama Jean Vilain (kiongozi wa upande wa maadui), Bruce Willis kama Mr. Church, Arnold Schwarzenegger
kama Trench, Terry Crews kama Hale Caesar, Randy Couture kama Toll Road, na Liam
Hemsworth kama Billy the Kid:
Baadhi ya washiriki katika filamu ya Expendables 2, kutoka kushoto ni Van Dame, Arnord, Stallone (Rambo), Jason na Dolph
Stallone (Rambo) na Dolph
Baadhi ya washiriki katika filamu ya Expendables 2, kutoka kushoto ni Van Dame, Arnord, Stallone (Rambo), Jason na Dolph
Stallone (Rambo) na Dolph
Rambo akiwa na Arnold Schwaznegger
Van Damme akionyesha kwamba bado yupo fiti
Dolph
Van Damme
Stallone(Rambo) na Jason
HAKIKA HII FILAMU SI YA KUKOSA
(PICHA KWA HISANI YA LEOTAINMENT BLOG)
Subscribe to:
Posts (Atom)