Friday, July 20, 2012
MATUKIO KATIKA PICHA: Ajali ya kuzama kwa boti ya MV SKAGIT
Askari wa Jeshi wakibeba miili ya watu waliokufa katika ajali hiyo ya Boti ya Skagit baada ya kuzama Baharini, wakihifadhi katika Bandari ya Zanzibar.
Miili ya waliokufa katika ajali hiyo, ikibebwa baada ya kuopolewa majini.
Askari wakijipanga kupokea maiti waliokuwa wakishushwa katika Boti za uokoaji.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment