![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjWW8DjN-aIbnCwOftIkyDxR8phWF74nPtnMYz695AFfGwvlVvwgl-ATfF9EYkO9Cj2Gp0uoO89XQBdUNxm4qmEWMXfZ3WUrVHirQiUWkqKE71wCJBvzIW47Pm18k-e7oGpgK3oFo7zf32n/s640/DBanj.jpg)
Toka ameanza muziki mpaka sasa
amefikia mauzo ya album ya kopi milioni 12 according to Q Magazine,
Mafanikio yake pamoja na umaarufu vimeongezeka baada ya kutoka na single
ya kwanza toka jiunge na lebo ya Good Music ya rapper Kanye West, sasa
amedondosha single ya pili inaitwa OYATO
No comments:
Post a Comment