Sunday, July 7, 2013

PICHA: MATUKIO MBALIMBALI YALIYOJILI TAMASHA LA MATUMAINI -2013

 
Nahodha wa Bongo Fleva, Hamis Baba 'H Baba' akipokea kombe kutoka kwa Mhe. William Ngeleja.(Bongo movie waichapa bongo muvi kwa penati 2-1)
 
Timu ya Bongo Fleva wakishangilia ushindi wao

Wachezaji wa Yanga (wabunge) wakishangilia ushindi 
(Yanga yaifunga Simba kwa Penalt 4-3)
 
Rais akikagua timu

Rais Kikwete akisani  mpira utakaotumika


 











No comments:

Post a Comment