Sunday, July 21, 2013

PICHA: MIILI YA ASKARI WA TANZANIA WALIOKUFA DARFUL ILIPOWASILI NCHINI JANA

Miili ikishushwa katika ndege maalumu


Askari wakiwa wamejipanga kupokea miili

Makamu wa rais pamoja na viongozi wengine waliofika kupokea miili ya askari wetu


Nape na Ridhiwan Kikwete nao walijumuika


Wafiwa wakiwa katika hali ya huzuni kuwa pokea ndugu zao askari walifariki Darful

 Msafara kuelekea Hospitali ya jeshi Lugalo kwa ajili ya kuhifadhiwa


No comments:

Post a Comment