Tuesday, August 28, 2012

CHADEMA YAZUIWA KUFANYA MKUTANO JIONI YA LEO MJINI IRINGA


MSAFARA WA CHADEMA UKIWA UMEZUIWA MJINI IRINGA







FFU WAKIWA UWANJA WA MWEMBETOGWA KUHAKIKISHA HAKUNA KUFANYIKA MKUTANO WA CHADEMA MAHALI HAPO

POLISI WAKIWA WAMETANDA KUZUIA MSAFARA WA VIONGOZI WA CHADEMA




Monday, August 13, 2012

Country Boy ft Tash-Mdogo Mdogo (Official Video)


EXPENDABLE 2 KUINGIA SOKONI IJUMAA HII TAR 17 AUGUST

Kwa wale wapenzi wa filamu za kibabe (action movies) kaa mkao wa kula kwni Expendables 2 ambayo ni muondelezo ile ya mwaka 2010 inatarajia kuingia sokoni ijumaa ya wiki hii August 17.
Filamu hiyo imewahusisha waigizaji wakongwe, Sylvester Stallone kama Barney Ross ambaye ndiye kiongozi wa kundi la makomandoo wa The Expendables, Jason Statham kama Lee Christmas, ni mtaalam wa visu wa The Expendables, Jet Li kama Yin Yang, Dolph Lundgren kama Gunnar Jensen, Chuck Norris kama Booker, Jean-Claude Van Damme kama Jean Vilain (kiongozi wa upande wa maadui), Bruce Willis kama Mr. Church, Arnold Schwarzenegger kama Trench, Terry Crews kama Hale Caesar, Randy Couture kama Toll Road, na Liam Hemsworth kama Billy the Kid:

Baadhi ya washiriki katika filamu ya Expendables 2, kutoka kushoto ni Van Dame, Arnord, Stallone (Rambo), Jason na Dolph


Stallone (Rambo) na Dolph


 Rambo akiwa na Arnold Schwaznegger

 Van Damme akionyesha kwamba bado yupo fiti

Dolph 

Van Damme

Stallone(Rambo) na Jason
HAKIKA HII FILAMU SI YA KUKOSA 
(PICHA KWA HISANI YA LEOTAINMENT BLOG)

Our Celebs



Witnesz akiwa na TI

Saturday, August 11, 2012

Best Hit: E2k ft Med C-Umeniacha





JINA KAMILI:           Erick Kelvin
JINA LA KISANII:          E2k
WIMBO:                      Umeniacha
PRODUCER:               Amba

Friday, August 10, 2012

Ajali Ya Gari Yaua Raia 11 Wa Kenya Eneo La Wami Mkoa Wa Pwani

 Baadhi ya abiria walionusurika wakiwa katika eneo la tukio kabla ya kupata msaada.


 Basi lililokua likitokea Kenya Kwenda DSM nalo lilitumbukia korongoni na kuua watu 11 ambao ni raia wa Kenya.


(Picha kwa hisani ya Mjengwa Blog)

Wednesday, August 8, 2012

Naibu Waziri wa Afrika Mashariki Mh. Abdullah Juma anusurika katika ajali ya gari.

Naibu Waziri wa Afrika Mashariki, Mhe. Abdullah J Abdallah, amenusurika katika ajali ya gari jana jioni katika maeneo ya Tumbi - Kibaha wakati akitokea Bungeni Dodoma akielekea Dar. Ndani ya gari alikuwa pamoja na mkewe na watoto wake ambao wote wamepata majeraha madoho, dereva wake ameumia zaidi na hivyo kulazimika kukimbizwa katika hospitali ya Tumbi.