Muda
mchache uliopita msanii wa kizazi kipya kwenye bongo hip hop ROMA
amepata ajali mbaya barabara ya Morogoro. Roma anasema alikuwa yupo
kwenye mwendo wakawaida ndio tairi la mbele lilipopata pancha na ndipo
gari likaacha njia yake na kwenda kugongana uso kwa uso na fuso ambalo
lilikuwa upande wa pili na gari hilo dogo alilokuwa akiendesha Roma
kurudi lilipotokea.
Roma ananiambia kwa sasa anaelekea Hospital kwa check up zaidi ila aliokuwa nao kwenye gari hakuna aliyeumia wote ni wazima.
Hapa akitoa maelezo kwa askari wa usalama barabarani
( kwa hisani ya BongoStar Link)
No comments:
Post a Comment