Wednesday, August 8, 2012

Naibu Waziri wa Afrika Mashariki Mh. Abdullah Juma anusurika katika ajali ya gari.

Naibu Waziri wa Afrika Mashariki, Mhe. Abdullah J Abdallah, amenusurika katika ajali ya gari jana jioni katika maeneo ya Tumbi - Kibaha wakati akitokea Bungeni Dodoma akielekea Dar. Ndani ya gari alikuwa pamoja na mkewe na watoto wake ambao wote wamepata majeraha madoho, dereva wake ameumia zaidi na hivyo kulazimika kukimbizwa katika hospitali ya Tumbi.

No comments:

Post a Comment